Mzee Alfred Tandau Enzi ya uhai wake

Uwezo Tandau na Andrew (K.P)Tandau waishio DMV wanawakaribisha kwenye misa ya mpendwa baba yao, marehemu Mzee Alfred Tandau itakayofanyika kesho Jumapili May 5, 2013 kuanzia saa 7 mchana  address ni 
6513 Queens Chapel Rd, 
Hyattsville, MD 20782 
Baada ya misa kutakuwa na chakula cha pamoja na kuwapa pole wafiwa. Nyumbani kwa wafiwa hapa Maryland kwa address hii:
17 Gas Light Court, 
Gaitherburg, Md 20879.
Kwa maelezo zaidi pia unaweza kupiga simu kupitia number hizi,
Andrew Tandau 
# 240 421 8392. 
Uwezo Tandau
 #240 476 0094. 
Jacqueline Korassa
 # 240 706 6831.
Tafadhali zingatia muda na upatapo taarifa hii usiache kumtaarifu mwenzio.
Bwana alitoa, Bwana ametwaa na juna lake lihimidiwe, Amin

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 04, 2013

    Alikuwa trade unionist mwenzetu huyu, nataka kuja hapo DMV nitafikaje kutoka hapa Pugu Kajiungeni?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...