Mtaalam na mkufunzi wa masuala ya amani ya mtu binafsi kwa njia ya kutafakari kutoka taasisi ya Art of Living, Chandrika Magaraja akitoa maelezo juu ya amani ya mtu binafsi inavyoweza kupatikana kwa kutafakari wakati wa kushiriki Mafunzo hayo yalifanyika jana kwa njia ya video na kufanyika kwa wakati mmoja kwa nchi 22 za Afrika na yaliongozwa na Kiongozi wa Art of Living Duniani ambaye pia ni Balozi wa Amani Sri Sri Ravi Shankar ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Umoja wa Afrika (AU).

Baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam walioshiriki katika katika kutafakari ambayo ni njia bora na yapekee ya kuleta amani ya mtu binafsi. Mafunzo hayo yalifanyika jana kwa njia ya video na kufanyika kwa wakati mmoja kwa nchi 22 za Afrika na yaliongozwa na Kiongozi wa Art of Living Duniani ambaye pia ni Balozi wa Amani Sri Sri Ravi Shankar ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Umoja wa Afrika (AU).  
Balozi wa Jamhuri ya Djbout nchini Tanzania, Saidi Amin Shamo (kushoto) na Balozi wa India hapa nchini, Debnath Shaw wakishiriki katika kutafakari ambayo ni njia bora na yapekee ya kuleta amani ya mtu binafsi. Mafunzo hayo yalifanyika jana kwa njia ya video na kufanyika kwa wakati mmoja kwa nchi 22 za Afrika na yaliongozwa na Kiongozi wa Art of Living Duniani ambaye pia ni Balozi wa Amani Sri Sri Ravi Shankar ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Umoja wa Afrika (AU).  
 Balozi wa Jamhuri ya Djbout nchini Tanzania, Saidi Amin Shamo (kushoto) Balozi wa India hapa nchini, Debnath Shaw (katikati) na Mwakilishi na Mtaalam na mkufunzi wa masuala ya Kutafakari kutoka Taasisi ya Art of Living, Chandrika Magaraja wakishiriki katika kutafakari ambayo ni njia bora na yapekee ya kuleta amani ya mtu binafsi. Mafunzo hayo yalifanyika jana kwa njia ya video na kufanyika kwa wakati mmoja kwa nchi 22 za Afrika na yaliongozwa na Kiongozi wa Art of Living Duniani ambaye pia ni Balozi wa Amani Sri Sri Ravi Shankar ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Umoja wa Afrika (AU).  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...