Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Abdallah Kigoda akipewa maelezo juu ya huduma na bidhaa zinazotolewa na benki ya NMB kutoka kwa Meneja wa NMB Tawi la Madaraka, Juma Mpimbi alipotembelea banda la NMB wakati wa ufunguzi wa maonyesho ya biashara mkoani Tanga.
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Abdallah Kigoda akisalimiana na Ofisa wa benki ya NMB tawi la Madaraka, Elvis Shao alipotembelea banda la NMB wakati wa ufunguzi wa maonyesho ya biashara mkoani Tanga. Wakishuhudia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe. Chiku Gallawa (pili kulia) na Meneja wa NMB Tawi la Madaraka, Juma Mpimbi
Maofisa wa benki ya NMB Tawi la Madaraka wakiwa katika banda la NMB wakati wa ufunguzi wa maonyesho ya biashara yaliyozinduliwa na Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Abdallah Kigoda mkoani Tanga.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...