Sehemu ya wajasilia mali wanaowezeshwa na benki ya NMB wakifuatilia maada zilizoendeshwa wakati wa semina hiyo.

Mkuu wa kitengo cha mikopo midogo na ya kati, Filbert Mponzi akitoa maada kwa wajasilia mali iliyohusu umuhimu wa kuandika mchanganuo wa biashara kwa mjasilia mali.

Mkuu wa kitengo cha Akaunti Binafsi NMB, Abdulmajid Nsekela akielezea huduma ambazo mteja wa NMB anafaidika nazo mara awapo na akaunti na NMB

Bw. Harun Manyama Ungura mwenyekiti wa Mwanza Business Club akifafanua jambo katika mafundisho hayo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...