Nyumba ya ghorofa moja inayofaa kwa ofisi inapangishwa eneo la Mikocheni, Dar es salaam karibu na KFC.   Ipo mtaa wa Msonge. 
Ina ukubwa wa Square Meter 272 na nafasi ya kuegesha magari zaidi ya 20. 
 Nyumba ina nafasi kubwa, ikiwa ni pamoja na chumba cha mikutano kutosha watu 30. 
Bei kwa mwezi ni dola 4000 (USD 4000). 
 MADALALI HAWAHITAJIKI 
 Kwa maelezo zaidi wasiliana na Mzee Masawe kupitia 0784 710 022



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 30, 2013

    Ukipanga hapo itabidi uwe umeajiri "security guards" wa kuaminika. Ama sivyo utalia bure kwa wezi.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 30, 2013

    mimi nauguwa macho muda sasa sioni vizuri hii nyumba umeandika ya ghorofa moja sasa hiyo ingine ya huu yake haimo kwenye huu ukodishaji anakaa mwenye nyumba au vipi? tafadhali nieleweshe kwani nina shida ya ukaazi kweli aisee.
    mdau.
    daresasalaamu.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 31, 2013

    SI afadhali uchukue mkopo ununue yako kabisa .. $4000? Experts watapanga. Good luck!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 02, 2013

    Good luck kweli! Bongo hiyo, wameibuka!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...