Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisisitiza jambo wakati akifungua Mkutano wa kuzungumzia Mustakabali wa maendeleo ya Wakulima Barani Afrika uliofanyika katika hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam leo.mkutano huo umeandaliwa na asasi ya(The southern African Confederation of Agriculktural Unions(SACAU).Wapili kushoto ni Kaimu Rais wa SACAU Bwana Ishmael Sunga na Watatu kushoto ni Waziri wa Kilimo Christopher Chiza.
Baadhi ya wajumbe waliohudhuria Mkutano utakaojadili Mustakabali wa Maendeleo ya Wakulima Barani Afrika uliofanyika katika hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam ambao umendaliwa na asasi ya SACAU(The Southern African Confederation of Agricultural Unions).(picha na Freddy Maro).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 14, 2013

    Wakulima wenyewe wako wapi hapa! Mipango ya kwetu bwana!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 14, 2013

    Hirizi begani!

    Duhhh kuuenzi Utamaduni,Mila na Jadi asilia kwataka moyo.

    Mabrazameni hiyo mnaweza?

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 14, 2013

    Naona kuna mtindo wa vazi la taifa! Very simple. PERIOD!

    ReplyDelete
  4. Picha ya 2 jamaa amekaa 'kimswati mswati' vile, atakuwa ametoka Uswazi!

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 15, 2013

    Yule jamaaa sijui ndiye Mfalme Mswati!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...