Mhe Zitto Kabwe anasema amepata muda kidogo wa kuipitia hii rasimu ya 3 nikiwa ya Gesi Asilia akiwa safarini kwenda Tabora kwa shughuli za chama chake cha CHADEMA  na ana maoni yake ya  awali kama ifuatavyo: 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 18, 2013

    jAMANI WATANZANIA WATU WETU KAMA MH ZITTO LAZIMA TUWE MAKINI KUWASIKILIZA UNAPOKUJA WAKATI KAMA HUU KWANI SERA KAMA HII INA GHARAMA KUBWA KWA MALI ZA WATANZANIA.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 19, 2013

    Du kama ni hivyo kuna haja ya kuirekebisha haraka iwezekanavyo hiyo rasimu ya gesi asilia na mafuta. TUNAISUBIRI KWA HAMU WANAINCHI TUISOME PIA NA KUTOA MAONI YETU, PIA RASIMU YA KATIBA NAYO TUNAISUBIRI HATUTA LALA MPAKA KIELEWEKE. NAAMINI TUKISIMAMA KIDETE MIAKA IJAYO HAKUTAKUA NA KUKOPA NJE TENA NA BAJETI YETU ITATUTOSHA KWA FEDHA ZA NDANI,VINGINEVYO TUKICHEZA NA KUCHEKA NAO HAWA WATU WATATUACHIA MADENI WAO WAKIWA MBELE ZA HAKI.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...