Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akifungua kongamano la tatu la waandishi wa habari na wadau wa habari mkoa wa Kilimanjaro lilifanyika katika ukumbi wa ofisi ya mkoa.
Mkuu wa wilaya ya Moshi Ibrahim Msengi akizungumza na wadau wa habari wakati wa kongamano la wadau na wanahabari lililofanyika katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.
Watoa mada katika kongamano la wadau wa habari na wanahabari wa mkoa wa Kilimanjaro linaloendelea katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.kutoka kushoto ni afisa mtendaji utawala wa kiwanda cha sukari TPC,Jafary Ally ,meneja wa kituo cha Radio cha Kibo fm ,Abdalah Husein na mhadhiri wa chuo kikuu cha mtakatifu Stephano Moshi ,SMMUCO,Gasper Mpehongwa. Picha na Dixon Busagaga wa globu ya jamii Moshi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...