Jana hapa London kulikuwa na kampeni ya kuchangisha mfuko wa kusaidia watoto wenye magonjwa ya kansa
Shughuli hiyo iliandaliwa na Mama Balozi Mrs Joyce Kallaghe na kuhudhuriwa na watu wengi sana yakiwemo makampuni mbali mbali makubwa UK ambapo Serengeti Freight WAZEE WA KAZI walikuwa wadhamini wa hafla hiyo.
Wazee wa kazi wakiwa pamoja na Mheshimiwa Balozi
Kulikuwa na mnada na bahati nasibu ambapo vitu bali mbali vilinadiwa kutunisha mfuko
Chris Lukosi alijishindia zawadi ya miwani ya Gold
Dada mtanzania alijishindia tiketi ya VIP kwenda kumuona Alicia Keyys pale O2 arena
Mheshimiwa Balozi akiwa na muandaaji wa shughuli mama Balozi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...