MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd (wa tatu kulia) akiungana na Viongozi wengine katika wimbo wa mshikamano katika maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi yaliyofanyika katika uwanja wa Amaan Zanzibar leo.
 Maandamano yakiingia uwanjani. hawa ni wafanyakazi wa bandarini wakiingia kwa mikogo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...