Baadhi ya wanafunzi wa shule za sekondari za jijini Dar es Salaam, waliohudhuria kongamano la elimu kwa jamii ya kupambana na aina zote za unyanyasaji na udhalilishaji lililoandaliwa na taasisi isiyo ya kiserikali ya Shikamana, ambapo hutoa mafunzo mbalimbali kwa vijana wa shule za sekondari, Kongamano hilo limefanyika katika ukumbi wa Chuo cha Ustawi wa Jamii jijini.
 Juu na chini anaonekana Mwanaharakati wa mambo ya maendeleo ya jamii Joyce Kiria akitoa ushuhuda wa maisha yake  kwa wanafunzi wa shule za sekondari mbalimbali za jijini Dar es Salaam, waliofika katika  kongamano la elimu kwa jamii ya kupambana na aina zote za unyanyasaji na udhalilishaji lililoandaliwa na taasisi isiyo ya kiserikali ya Shikamana, ambapo hutoa mafunzo mbalimbali kwa vijana wa shule za sekondari, Kongamano hilo limefanyika katika ukumbi wa Chuo cha Ustawi wa Jamii jijini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...