Waratibu wa Susan G. Komen wakiongea jambo na kuwashukuru wote kwa kufika kwa matembezi ya Susan G. Komen. yaliyofanyika Jumamosi May 11, washington, DC.
Mdogo wa Susan G. Komen akiongea jambo 
Josh akiongea jambo n[ kwa niaba na mama mlezi wake (kushoto) ambae ni mnusurika wa Saratani.
Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Idd Sandaly akibadilishana kadi ya biashara na mmoja ya washiriki wa matembezi ya Susani G. Komen.
Baadhi ya washiriki wa timu Tanzania.
Wanusurika wa saratani katika picha ya pamoja.
Timu Tanzania katika picha ya pamoja
 
Wakina baba kutoka timu Tanzania ambao walikua wawili tu kama unavyowaona katika picha kushoto ni Pius Mtalemwa akiwa na Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV, Bwn. Idd Sandaly.
Timu Tanzania katika picha ya pamoja.
Bendera zkiwakilisha nchi washiriki kwenye matembezi ya Susan G. Komen.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...