KATIBU MKUU WA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA BI JOYCE K.G. MAPUNJO ANASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MTUMISHI WAKE, NDUGU ELIAS DANIEL KITUNDU KILICHOTOKEA ALFAJIRI YA LEO TAREHE 27 MEI 2013 KWA AJALI YA KUGONGWA NA TRENI, UKONGA DSM. 

 MIPANGO YA MAZISHI INAFANYWA NYUMBANI KWA MAREHEMU NA TAARIFA ZAIDI KUHUSU MSIBA HUU ZITATOLEWA BAADAE HABARI ZIWAFIKIE, WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH DKT ABDALLAH KIGODA NA NAIBU WAKE MH GREGORY TEU WA BUNGENI DODOMA VIONGOZI NA WAFANYAKAZI WOTE WA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA NA TAASISI ZAKE ZOTE POPOTE WALIPO WADAU WA SEKTA NDOGO YA NGOZI KOTE NCHINI, WAZAZI, NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI WA MAREHEMU POPOTE WALIPO. MUMGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI, 

AMINA.
HII NDIO GARI ALIYOPATA NAYO AJALI,NDUGU ELIAS DANIEL KITUNDU.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 27, 2013

    RIP marehemu na poleni sana familia.

    Michu lugha aliyotumia katibu mkuu si sahihi kusema mtumishi wake..usahihi ni mtumishi wa wizara.. maana wizara si mali au kampuni binafsi ya katibu mkuu!

    nawasilisha

    mdau
    j4
    ujerumani

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 28, 2013

    juzi nimekoswa koswa na treni asubui, wale washika kibendera wafukuzwe kazi waletwe watu wenye akili imagine amekaa chini ya mtu na kibendera alfajiri huku train inakuja!! badala aonyeshe ishara ili watu tujue train inakuja yaani sitaki kukumbuka sasahivi mama yangu angekuwa analia msiba.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...