Familia ya Bwana Thomas Martin Kiama wa mtaa wa Bongoyo, Oysterbay wanasikitika kutangaza kifo cha mama yao mpendwa Victoria Thomas Kiama (pichani) kilichotokea tarehe 11.05.2013 saa mbili na nusu usiku katika Hospitali ya Aga Khan mjini Dar es Salaam.
Mipango ya mazishi inafanywa nyumbani kwa Marehemu -Bongoyo, Oysterbay. Habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki popote walipo.
Bwana Mungu ametoa, Naye ametwaa,
Jina lake libarikiwe milele na milele.
Amina.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...