Tamasha la Utamaduni la kila mwaka Mtemi Milambo Festival limezinduliwa Jumatatu 13/5/2013 uwanja wa Taasisi mkoani Tabora.
Mgeni rasmi alikuwa Naibu Meya wa Tabora Mhe. Waziri Mlenda ambaye katoa wito kwa wananchi kuuenzi utamaduni wao kwani msahau kwao ni mtumwa. Kauli mbiu ya Tamasha hili mwaka huu ni KUSHOKE KUKAYA yaani turudi nyumbani tafsiri ya Kiswahili toka kinyamwezi. Pichani Naibu Meya wa Tabora Mhe. Waziri Mlenda katika uzinduzi rasmi wa Tamasha hilo. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...