WASILIANA NA AHMED KWA NAMBA  0712022929

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. MkiboshoMay 30, 2013

    Hii ni used sasa upya unatoka wapi?
    Tuwe makini na matangazo kama haya.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 30, 2013

    hata mie nimeshangaa, ukiangalia matairi yashaanza toka kipara, hata hivyo mdau hajatuwekea bei.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 30, 2013

    umenena itakuwaje mpya na ishaatumika jameni.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 30, 2013

    Jmani Michuzi usiwe unaweka tu matangazo bila kuyaaangalia kwa makini. sasa hiii gari ina upya gani mkuu???? Hiii gari ni nzeee kabisaaa. unaposema kitu "kipya" kiwe na wadhifa wa kitu kipya au walau hata karibu na kipya. this car is just as old as me.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 30, 2013

    sasa munaposema mpya munamaanisha nini?

    au kila kitu kinachotoka nje kwa wenzetu wakishatumia vikifika kwetu tunaita vipya?

    labda vipya kutumiwa tanzania lakini haimaanishi mpya kutoka kiwandani

    twendeni tu tutafika.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 30, 2013

    muuzaji wacha maneno mengi mpya itoke wapi? kula milioni 4 namimi nikamalizie nianze kuwa mteja wa spare madukani.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 30, 2013

    Mpya kutumiwa Tanzania hiyoo.

    ReplyDelete
  8. Jamani hii gari bado haijauzwa? Mbona nimeanza kuiona siku nyingi...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...