Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Bi. Winfrida Korosso akimkabidhi zawadi ya mfanyakazi bora Bi. Khadija Ahmed.
Wafanyakazi bora wa Tume wakiwa katika picha na Dereva Mwandamizi wa Tume Bw. Goya Zuberi Mchenga (katikati).
Mfanyakazi bora wa Tume Bi. Khadija Ahmed akizungumza mara baada ya kupatiwa zawadi na Katibu Mtendaji wa Tume.
Wafanyakazi bora wakiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Tume.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...