Ujenzi wa Barabara kuanzia Mji wa Mombo mpaka Hedaru Mkoani Tanga umekuwa ukiendelea kwa kasi tangu pame mradi huu ulipoanza.hali hii inakuna kutokana na eneo hili kuwa na bovu kwa kipindi kirefu,ila sasa ufumbuzi wake umepatikana na mambo yanakwenda vyema.
 Wakazi wa Mji wa Hedaru wakiangalia moja ya Katapila likiendelea na kazi ya upanuzi wa Barabara hiyo. 
 Sehemu ya barabara hiyo ambayo ipo kwenye matengenezo makubwa hivi sasa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Waswahili sisi bwana watu wapo kazini jamaa wanashangaa nini sijuwi!! au nawao ndio wafanyakazi? laki mbona hawa jamaa hawatolewi hii niuzembe wa makampuni kama haya ya vichochoroni kuwa hawapo strict katika ajira zao nandio maana hakuna Health & safety.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 26, 2013

    halafu utawasikia
    "...miaka hamsini ya uhuru hakuna lililo fanyika"

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 27, 2013

    Maendeleo makubwa. Hivi wana Hedaru mko mkoa gani? Jiografia kidogo tukumbushane wajemeni.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 27, 2013

    Hedaru iko Mkoa wa Kilimanjaro. Enzi za Mkoloni ilikuwa ni Mkoa wa Tanga pamoja na Same yake yote.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 27, 2013

    Nimekuwa nikiendesha katika barabara hii takriban miaka 2 sasa. Kusema kweli, barabara hii, pamoja na zingine ni nyembamba sana. Ingefaa upana wa barabara uongezwe ili magari yaweze kupishana vizuri. Vilevile ingefaa pajengwe sehemu za waenda miguu maana sehemu zingine wananchi wanatembea kwenye barabara, jambo ambalo ni hatari sana.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...