Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Ramadhan Khijjah(kushoto)  ,Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo kutoka Ujerumani (KfW )Wolfgang Solzbacher (katikati) na Afisa Mtendaji Mkuu wa CCBRT Erwin Telemans  wakibadilishana hati za msaada wa shilingi bilioni 17 zilizotolewa na Serikali ya Ujerumani kupitia Shirika lake la Kfw jana jijini Dar es salaam ili kusaidia ujenzi wa Hospitali ya Baobab ambayo itashughulikia afya ya uzazi ili kupunguza vifo vya wakina mama na watoto.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...