Pichani katikati mwenye Kaunda suti ni Col. Mrangila, kwa sasa ndio Mkuu wa Ubalozi, aliyeshikilia koti ni Magesa, Mkuu wa msafara wa TPA, wa kwanza kushoto ni Mwasswe Mwambata Msaidizi wa Kijeshi na wa mwisho kulia ni Mchani Mwambata wa kiuchumi, wengine pichani ni maafisa wakuu vitengo vya TPA idara za TEHAMA na Mipango.
Maafisa wa Bandari wako Rwanda kubadilishana ujuzi namna ya kurahisisha biashara kwa kutumia Teknolojia ya Habari na MAwasiliano (TEHAMA), pia walitembelea wadau wa biashara Rwanda Kama Mamlaka ya Mapato Rwanda, Shirika la Viwango Rwanda, Chama Cha Mawakala wa Mizigo Rwanda n.k. Hivi karibuni Tanzania itaanza kutumia mfumo wa kufanya biashara kielectroniki kupitia Bandari na maeneo yote ya kuingia na Kutoka nje. Wadau kuweni Tayari....!!!!
Home
Unlabelled
Ujumbe TPA watembelea ubalozi wa Tanzania, Kigali
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...