Wazazi
wa watoto wa shule ya Msingi Bunge wanatafuta magari ya kusafirisha watoto wao
kurudishwa nyumbani na kila mtoto ataachwa kituo cha basi kilicho karibu na
kwao hawafikishi majumbani mwao.
Kila njia inahitajika gari ya muelekeo wa njia
hio kusudi wakitoka shuleni ni moja kwa moja kuelekea njia ya kwao wafike
makwao mapema.
NJIA
YA KWANZA: Ni barabara ya Kilwa Road wanaenda mwisho Mbagala Rangi Tatu ina
watoto 15.
NJIA
YA PILI:Ni barabara ya Morogoro Road wanaenda mpaka mwisho Kimara ina watoto 15
NJIA
YA TATU: Ni barabara ya Nyerere Road wanaenda mpaka Banana ina watoto 4
NJIA
YA NNE: Ni barabara ya New Bagamoyo Road ina watoto 4.
Tafadhali
wasiliana na Mwanakamati wa Usafiri kwa simu
na.0713 532440 au 0752 212681
mmh! barabara ya Kilwa road. kiswanglish
ReplyDeleteJamani mliosoma Bunge Primary enzi hizo ndio mnaoendesha nchi sasa. Isaidieni shule yenu. Halafu majengo yamechoka sana. Fanyeni Harambee kuichangia shule ikarabatiwe.
ReplyDeleteMdau wa Bunge.