Mshindi wa shindano la mrembo wa Redds Miss Hai 2013 Winnie Shayo(
katikati) mshindi wa pili Mary Chemponda (kulia kwake) na mshindi wa
tatu Catherine Leonard wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya
kutangazwa washindi.
Mwakilishi wa TBL wilaya za Siha na Hai ,Edimund Rutaraka akikabidhi
pesa taslimu kwa mshiriki wa shindano la kumtafuta Redds Miss Hai 2013
aliyeshika nafasi ya tano.Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Hai.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...