Mshindi wa shindano la mrembo wa Redds Miss Hai 2013 Winnie Shayo( katikati) mshindi wa pili Mary Chemponda (kulia kwake) na mshindi wa tatu Catherine Leonard wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kutangazwa washindi.
Mwakilishi wa TBL wilaya za Siha na Hai ,Edimund Rutaraka akikabidhi pesa taslimu kwa mshiriki wa shindano la kumtafuta Redds Miss Hai 2013 aliyeshika nafasi ya tano.Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Hai.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...