Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na viongozi wa Tawi la CCM wilaya ya Kaskazini B alipofika kuweka Jiwe la Msingi Tawi hilo,akiwa katika ziara ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kaskazini Unguja leo.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein,akifungua pazia kuweka jiwe la msingi Tawi la CCM Zingwezingwe wilaya ya Kaskazini B,akiwa katika ziara ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kaskazini Unguja leo.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein,akizungumza na wanachama wa Tawi la CCM Zingwezingwe baada ya kuweka jiwe la msingi Tawi la Kijiji hicho,akiwa katika ziara ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kaskazini B, Mkoa wa Kaskazini Unguja leo.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein,akifungua pazia kuweka jiwe la msingi tawi la CCM kwa Gube Mfenesini ,akiwa katika ziara ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kaskazini B, Mkoa wa Kaskazini Unguja leo.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein,akijenga moja ya Tofali kama ishara ya uwekaji wa jiwe la msingi Tawi la CCM Donge,akiwa katika ziara ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kaskazini B, Mkoa wa Kaskazini Unguja leo,(Kushoto) Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi .Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...