Balozi wa Tanzania BENELUX na Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiwasilisha mada kuhusu fursa za uwekezaji Tanzania kwa Wanachama wa Taasisi ya Uwekezaji ya Ubelgiji (FIT). Mkutano umeandaliwa na FIT kwa kushirikiana na Balozi za Tanzania na Kenya Brussels.
Wanachama wa Taasisi ya Uwekezaji ya Ubelgiji (FIT) Wakimsikiliza Balozi. Dr. Diodorus Buberwa Kamala kuhusu fursa za Uwekezaji Tanzania.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...