Balozi wa Tanzania BENELUX na Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiwasilisha mada kuhusu fursa za uwekezaji Tanzania kwa Wanachama wa Taasisi ya Uwekezaji ya Ubelgiji (FIT). Mkutano umeandaliwa na FIT kwa kushirikiana na Balozi za Tanzania na Kenya Brussels.
Wanachama wa Taasisi ya Uwekezaji ya Ubelgiji (FIT) Wakimsikiliza Balozi. Dr. Diodorus Buberwa Kamala kuhusu fursa za Uwekezaji Tanzania.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...