Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Ali Juma Shamhuna akisisitiza jambo wakati alipozungumza na Wazazi pamoja na Walimu wa Wilaya ya Kati Dunga alipokuwa katika ziara yake ya kutembelea Maskuli mbalimbali ya Unguja na Pemba na kukutana na walimu pamoja na kamati za wazazi ilikutatua matatizo mbalimbali yanayokabili katika Maskuli hayo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Skuli ya Kiboje Haji Shaban Waziri akitoa mchango wake kwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Ali Juma Shamhuna hapo Dunga Wilaya ya Kati katika ziara ya kutembelea Maskuli mbalimbali ya Unguja na Pemba ilikutatua matatizo mbalimbali yanayokabili katika Maskuli hayo.
Baadhi ya Wazazi pamoja na walimu wa Wilaya ya Kati waliohudhuria katika Mkutano wa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya amali Ali Juma Shamhuna huko Dunga wakati alipokuwa katika ziara yake ya kutembelea Maskuli mbalimbali ya Unguja na Pemba na kukutana na walimu pamoja na kamati za wazazi ilikutatua matatizo mbalimbali yanayokabili katika Maskuli hayo.PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...