TAARIFA ILIYOTUFUKIA CHUMBA CHA HABARI CHA GLOBU YA JAMII,INAELEZA KUWA MSANII WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYADA LANGA KILEO A.K.A LANGA AMEFARIKI DUNIA MUDA MFUPI ULIOPITA KATIKA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI ALIKOKUWA AMELAZWA.
LANGA AMBAYE INADAIWA KUWA ALIPATWA NA MALARIA KALI SANA HALI ILIYOPELEKEA KUKIMBIZWA HOSPITALI SIKU YA JANA.
TAARIFA KAMILI ITAKUJA BAADAE.
Duh poleni sana wafiwa. RIP. Jamani Muhimbili malaria inawashinda kutibu?
ReplyDeleteAnayetibu ni yule aliyetuumba yeye ndio mpangaji wa kila jambo langa ndio kifo chake kimeshaandikwa sasa unamlaumu nani
DeleteJaman, n nini hiki??
ReplyDeleteRest In Peace Langa
R.I.P LANGA ila wewe mdau wa kwanza inaelekea unapenda sana lawama
ReplyDeleteNdo hospitali zetu hz jamani.RIP Langa
ReplyDeleteR.I.P bro pembele yko nyuma yetu
ReplyDeleteInasikitisha sana, vijana wadogo, chipukizi na nyota wa nchi.
ReplyDeleteRIP LANGA- MAHFOUDH- ORYX GAS
siyo lawama ila inawezekana ni wrong diagnosis. RIP
ReplyDeleteR.I.P langa
ReplyDeleteMalaria kama haikuwahiwa mapema ni kifo. Michuzi hichi kichwa na habari "Msanii mwengine..." sio kizuri. Binadamu wote ni sawa na wataondoka duniani wakati wowote. Tujitayarishe vizuri kwa safari hiyo sote.
ReplyDeleteSipendi lawama bali tuzingatie maisha ya watu. Sometimes uzembe nao unaingia. Mgonjwa kaja badala ya kumtibu haraka mtu anajizungusha. Mpime damu,muongezee maji mpe dawa ya kushusha homa na malaria. Hivyo vyote vikifanyika katika dakika 15 mgonjwa anapowasili maisha hukuolewa. Bila shaka mgonjwa alikuwa akitapika sana hivyo alihitaji drip. Huyo mgonjwa ukimpatia dawa ameze atatapika yote. Hivyo mdau mie sipendi lawama bali naongea ukweli mtupu. Na ukiiyachukulia haya masuala kama fundisho wagonjwa wengi wataokolewa.
ReplyDeleteHakuna hospitari ye'te dunian hata iwe na madaktari bingwa kiasi gan,huwa na mortuary(chumba cha maiti). Hiyo ni kwa 7bu,M/MUNGU pekee ndio mwenye mipango yote. R.I.P LANGA.
DeleteUnadhani malaria ni ugonjwa dhaifu au rahisi kutibika? Mara ngapi umesikia tukiambia watu flani wanapolazwa muhimbili kua wana malaria kali na wakapewa rufaa toka muhimbili kwenda aghakhani na baadae hupelekwa nje.hivi nikweli mnh hawawezi kutibu malaria au huwa kuna vitu vinafichwa? How common for an adult person to get severe malaria? Tafakari chukua hatua.
ReplyDeleteUnavyolaumu, je hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa Langa? kwamba kulikuwa na uzembe, na hakuhudumiwa katika dakika 15?
ReplyDeleteKweli kabisa tiba kwanza kujizungusha baadae..tatizo wanaweka pesa mbele badala ya uhai wa mtu, wenzentu nchi zilizoendelea wanajali afya ya mtu kwanza tena watahangaika sana kuokoa maisha ya mtu, vifo vya uzembe ni vichache sana na huwa wanachukuliwa hatua kali sana ikibainika mtu kafa kwa uzembe hivyo wahusika wanaogopa na kujali sana..ila tusilaumu safari ya Langa ilikuwa iwe leo imekuwa na ameondoka iliyobaki tuwafariji wafiwa ..R.I.P LANGA
ReplyDeleteR I P langa. Kazi yake mora haina makosa...
ReplyDeletewewe ulisema anayetutibu ndo aliyetuumba. Hata maandiko yanasema, "jisahidieni wenyewe kwanza" Ukweli utabakia palepale hela kwanza, utu baadaye. Vitu vingine kwakweli huwa tunampa Mwenyezi Mungu mizigo.
ReplyDeleteR I P Langa, tutakukumbuka daima.
ReplyDeleteHilo fungu kwenye Biblia linalosema "jisaidieni wenyewe kwanza" linatoka katika kitabu gani cha Biblia...? Acheni kudanganya watu. Sote tu wapitaji tu katika hii dunia..tutalaumu weeee lakini eventually that is our way all of us. R.I.P Langa
ReplyDeleteUzembe huanza na sisi wenyewe kwa kuto chunguza afya zetu na kuzitunza ipasavyo. Tunakwenda au kupelekwa Hospitali tunapozidiwa na kutupia lawama madaktari. Kila mmoja wetu awa na tabia ya kujizuia maambukizi ya aina yeyote.
ReplyDeleteNa ule unga unga unakinzana na tiba.
Ni njia ya wote jamani...RIP Langa.
ReplyDelete