Muandaaji wa Tamasha la Michezo lijulikanalo kwa jina la Castle Lager Soka Fest 2013,Evans akizungumza na waandishi wa juu Tamasha hilo litakalofanyika siku ya jumamosi katika Viwanja vya Posta,Kijitonyama jijini Dar es Salaam
 Nyanda wa zamani wa timu ya Yanga na Taifa Stars,Perer Manyika akizungumzia uwepo wake kwenye Tamasha hilo la Michezo litakalofanyika siku ya jumamosi katika Viwanja vya Posta,Kijitonyama jijini Dar es Salaam.
kwa upande wa Wadhamini wakuu wa Tamasha hilo,Peter Zacharia alisema Castle Lager imeamua kudhamini hilo ikiwa na lengo la kuwakutanisha wafanyakazi wa makampuni mbali mbali ili waweze kukutana na kufurahi pamoja.Tamasha hilo litafanyika siku ya jumamosi katika Viwanja vya Posta,Kijitonyama jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...