Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,na Balozi wa Japan nchini Tanzania Masaki Okada.kwa pamoja wakifungua pazia kama ishara ya uzinduzi wa mradi wa uimarishaji Miundombinu ya Usambazaji Umeme Zanzibar,katika hafla iliyofanyika leo Mtoni Kituo Kikuu cha Umeme,Wilaya ya Magharibi Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,na Balozi wa Japan nchini Tanzania Masaki Okada.kwa pamoja wakikata utepe kuzindua mradi wa uimarishaji Miundombinu ya Usambazaji Umeme Zanzibar,katika hafla iliyofanyika leo Mtoni Kituo Kikuu cha Umeme,Wilaya ya Magharibi Unguja.
Meneja Mkuu wa Shirika la Umeme Zanzibar Hassan Ali akitoa maelezo kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) wakati alipoitembelea mitambo baada ya kuzindua mradi wa uimarishaji Miundombinu ya Usambazaji Umeme Zanzibar,katika hafla iliyofanyika leo Mtoni Kituo Kikuu cha Umeme,Wilaya ya Magharibi Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) na Makamo wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif,wakifuatana wakati uzinduzi wa mradi wa uimarishaji Miundombinu ya Usambazaji Umeme Zanzibar,katika hafla iliyofanyika leo Mtoni Kituo Kikuu cha Umeme,Wilaya ya Magharibi Unguja.
Baadhi ya mafundi na wafanyakazi wa Shirika la Umeme la Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipozungumza katika sherehe za uzinduzi wa mradi wa uimarishaji Miundombinu ya Usambazaji Umeme Zanzibar,katika hafla iliyofanyika leo Mtoni Kituo Kikuu cha Umeme,Wilaya ya Magharibi Unguja.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...