Mhe Naibu Spika Job Ndugai akimkabidhi kitabu chenye Historia ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Balozi wa Tanzania Ubelgiji na Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala. Kulia kwa Naibu Spika ni Mhe Mussa Zungu na kushoto kwa Balozi Kamala ni Mhe Dr. Mary Mwanjelwa. Waheshimiwa Wabunge wapo Brussels Ubelgiji kushirikiana Kikao cha Bunge la Afrika, Karibiani, Pacific na Jumuiya ya Ulaya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...