Jukwaa liko tayari kwa Show Babkubwa itakayoangushwa na Wasanii mbali mbali waliopo kwenye Kilimanjaro
Tanzania Music Tour 2013 ndani ya Uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma hivi
sasa.ambapo leo hii ni sherehe ya wakazi wa Dodoma Kiburudani.
Dj akiwa tayari tayari kwa kuangusha Bonge moja la Burudani.
Mabaunsa wakiwa tayari washajipanga kwa kazi moja.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...