Hizo pichani ni nguo za Dereva na Kondakta wa wa Basi hili zikiwa zimeanikwa hapo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 28, 2013

    Ubunifu na uvumbuzi

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 28, 2013

    Dereva na Kondakta wake wanatakiwa waripotiwe Sumatra halafu hata kama Mshahara wao ni Tsh.150,000/= kwa mwezi (Konda) na Dereva Tsh.300,000/= WALIMWE FAINI ZA Tsh.300,000/=(Konda) na Tsh.600,000/=(Dereva) YAANI MARA 2 YA MISHAHARA YAO ILI WAKOME!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 28, 2013

    Dereva na Kondakta wake wanatakiwa waripotiwe Sumatra halafu hata kama Mshahara wao ni Tsh.150,000/= kwa mwezi (Konda) na Dereva Tsh.300,000/= WALIMWE FAINI ZA Tsh.300,000/=(Konda) na Tsh.600,000/=(Dereva) YAANI MARA 2 YA MISHAHARA YAO ILI WAKOME!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 28, 2013

    JESUS IS THE ONLY SAVIOR

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 29, 2013

    Huo ni uchafu, nguo hazistahili kuanikwa hapo. Kuna uwezekano hata majukumu mengine nyumbani hayatimizwi na wahusika.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 29, 2013

    Hiyo ndio Tanzania bwana, waweza ona kama ni vitu vidogo lakini ni picha tosha ya kujifunza ndani kulikoni?Yaani mgeni akija leo na kuona picha hiyo hatoshangaa kwa mengine yatakayo mjia akiwa huko.Haiingii kuona aliweza kukanyaga kilometa kadhaa akiwa ktk hali hii bila ya kudakwa, haya ndio yaleyale ya picha ya juzi tuliyopewa hapa kama swali la yupi dereva??

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 29, 2013

    makonda na madereva wa daladala wanadharau, hawajijali. dawa ni faini na kifungo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...