Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 04, 2013

    Wewe mkuu wa "Uswazi kiwalani" jifunze kutoa nafasi kwa wadau wengine waongee!

    Ustaadh nawe una points ila mbona leo umetukera " maustaadh" wenzio kwa imani yetu uko uchi kaptula zenye kusitiri magoti mbona ziko nyingi siku hizi? kumbuka nawe kwa kijiwe hiki nawe ni kioo cha jamii.

    Mnajitahidi ila pawe na kupokezana kuchangia mada.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 04, 2013

    Leo mmeongelea topic amabyo kweli ni tatizo kubwa sanakwa Tz. Na pia mmeweza kutoa maoni mawazo mazuri ya nini kifanyike ikiwemo jela na kulima, kwa kweli mmetafuta tija kwa hilo tatizo elimu zitolewe toka shule ya msingi kuhusu madawa ya kulevya. Kuhusu wakubwa kuhusika na hiyo biashara ni challenge mana wa chini kumshtaki mheshimiwa sio rahisi! Kama wabunge au wachungaji wanahusishwa jamani hapo jamii ifanyeje? Mwananchi wa chini kabisa sijui anaokolewa na nani? Polisi nao pia. Tz inakoelekea kwa kweli sijui ni wapi, Mungu aiponye Tz na watu wake.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 04, 2013

    Kuna hoja kuhusu " Hii biashara ya michango ya harusi Bongo"

    Jamani michango ya harusi sasa imekuwa kero mno,badala ya kujenga mahusiano ina bomoa.

    Ni watanzania wachache sana siku hizi wanachangia harusi kwa kupenda hili zoezi limekuwa kama kulazimishana,na usipo changa walengwa wanakununia.

    Hili nalo ni la kujadiliwa.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 05, 2013

    Ni tatizo. Aliyekuwa amelala kaamka

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...