MAREHEMU KATALINA STACHUMA SEMSENA
1945-2000

Imetimia miaka 13 tangu ututoke ghafla usiku wa tarehe 28 Juni 2000 wakati bado tulikuwa tunakuhitaji. Ingawaje kimwili umetutoka, kiroho bado tunakukumbuka.

Unakumbukwa na mume wako Mzee ATTILIO LUSINDE MWANG’INGO watoto wako AUDA, Eng. ROMANUS, RITHA, BENJAMIN, DR. GETRUDE, SALOME, DOROTHY , Eng. LILIAN na wajukuu wako Tawela, Antony, Nora, Adam, Eric, Catherine na Silvanus, wakwe zako Mh. Msiska(Mbunge), Lorna, Mary, Eng. Elisante na ndugu wote wa ukoo wa Ng’ingo na Msena..

Tunakukumbuka siku zote kwa upendo wako, mawazo yako yaliyojaa busara, ukarimu na malezi bora. Tulikupenda lakini Mungu alikupenda zaidi.

Tunamwomba Mwenyezi Mungu aiweke roho yako mahali pema peponi Amina.  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 28, 2013

    HAPO UNAKUMBUKWA NA MUMEO MZEE ATILIO NADHANI UMEKOSEA, NAKUMBUKA MZEE ALISHAFARIKI, AU NI COPY NA KUPEST, JARIBU KUBADILISHA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...