Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa mkuranga na Waziri wa Kilimo na Ushirika, Adam Malima, Bungeni mjini Dodoa Juni 24, 2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na wabunge, Bungeni Mjini Dodoma 24,2013.
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiteta na Wabunge Mary Chatanda wa Viti Maalum (kushoo) na Mbunge wa Sumbawanga, Aeshi Hillaly kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 24, 2013.
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Musoma Mjini, Vincent Nyerere (kushoto) kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 24, 2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimsaidia kurekebisha tai Mbunge wa Ileje,Aliko Kibona kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 24,2013. Katikati ni Mbunge wa Kuteuliwa James Mbatia.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta Mbunge wa Ileje,Aliko Kibona (kushoto) kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 24,2013. Katikati ni Mbunge wa Kuteuliwa James Mbatia.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...