Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akikabidhi kikombe cha ushindi kwa timu ya Chuo cha Afya Mbweni, baada ya kupata ushindi katika mashindano ya Vyuo vikuu na Taasisi za elimu ya juu Zanzibar (ZAHLIFE). Kushoto ni Mkuu wa Chuo hicho Dkt. Haji Mwita.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akikagua timu ya Chuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu, wakati ikijiandaa kuvaana na timu ya Afya Mbweni, katika fainali za mashindano ya Vyuo vikuu na Taasisi za elimu ya juu Zanzibar (ZAHLIFE) iliyofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akikagua kikosi cha timu ya Chuo cha Afya Mbweni, wakati ilijiandaa kuvaana na timu ya Chuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu, katika fainali za mashindano ya Vyuo vikuu na Taasisi za elimu ya juu Zanzibar (ZAHLIFE) iliyofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar.
Mashabiki mbali mbali waliojitokeza katika mchezo wa fainali za mashindano ya Vyuo vikuu na Taasisi za elimu Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan mjini Zanzibar.
Maandamano ya Taasisi za elimu ya juu Zanzibar yakipita mbele ya mgeni rasmi, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, katika shamra shamra za fainali ya mashindano hayo yaliyofanyika viwanja vya Amaan.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...