Pichani juu ni maandalizi ya maonyesho ya 37 ya saba saba  yatakayoanza hivi karibuni  katika viwanja vya Mwalimu nyerere vilivyopo kilwa road jijini  Dar es salaam.Maonyesha hayo ya 37  yameelezwa kuwa  ni maonyesho makubwa ya kimataifa na ya kipekee kufanyika jijini Dar es salaam ikilinganishwa na maonyesho ya miaka mingine iliopita, kwani maonyesho haya yatashirikisha nchi nyingi zaidi  kuliko miaka  yote.Imeelezwa kuwa nchi zitakazoshirkia katika maonyesho ya mwaka huu  zimeongezeka kutoka nchi 11 zilizoshiriki mwaka jana na kufikia nchi 32  ambazo zitashiriki katika maonyesho hayo mwaka huu.
PICHA ZAIDI BOFYA MICHUZIJR.BLOGSPOT.COM

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...