WAREMBO wanaowania shindano la kumtafuta mlimbwende wa mkoa wa Tanga Redd's Miss Tanga 2013 wakiwa katika pozi mara baada ya kumalizika mazoezi yao kwenye ukumbi wa Lavida Loca jijini Tanga,ambapo shindano linatarajiwa kufanyika June 22 mwaka huu katika uwanja wa mkwakwani mjini Tanga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...