Maharusi Kelvin Msuya na Gladys Munanka wakiwa katika mnuso wao wa kumeremeta unaofanyika usiku huu ndani ya Ukumbi wa Diamond Jubilee hall Jijini Dar es Salaam baada ya kumeremeta katika kanisa la KKKT la Azania Front.

Mapicha kede kede na video ya Mnuso huu utawajia baadae kidogo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...