Msanii
wa Muziki wa Kizazi Kipya,Linex akiwasalimia mashabiki na wapenzi wa
Muziki waliofurika kwa wingi ndani ya Uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma
leo,ambapo usiku huu kulikuwa na bonge moja la Show ya Kilimanjaro
Tanzania Music Tour 2013.
Msanii
aliejinyakulia Tuzo kadhaa za Kilimanjaro Tanzania Music Awards
2013,Ommy Dimpoz akienda sambamba na timu yake ya Madansa wakitoa
burudani ya kufa mtu ndani ya Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma usiku huu.
Msanii Ben Pol akighani moja ya nyimbo zake.
Msanii
wa Hip hop Mwenye tuzo nne za Kilimanjaro Tanzania Music Awards
2013,Kala Jeremier akifanya vitu vyake usiku huu ndani ya Uwanja wa
Jamhuri mjini Dodoma.

Mashabiki hawakutaka kabisa kupitwa na taswira za show hii.
Ni shangwe kwa kwenda mbele ndani ya Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma hivi sasa.








Enzi zetu tukienda mziki tunacheza (selebuka), siyo siku hizi mnaenda halafy mnabaki kukudolea macho tu, mmeliwa hela yenu.Kama kusikiliza muziki si basi ikae nyumbani na nitausikiliza safi kabisa bila pigwa vumbi.
ReplyDelete