Supa Modo Flaviana Matata anayefanya shughuli zake jijini New York, Marekani, ametangaza rasmi kwamba yeye ana upara ndio basi tena katika hii exclusive interview aliyofanya na Globu ya Jamii akiwa Uwanja wa Ndege wa wa Kimataifa wa Julius Nyerere Juni 2, 2013. Pichani juu hapo ni siku aliyoshinda kuwa Miss Universe Tanzania mwaka 2008 ambapo katika fainali za dunia alikuwa mongoni mwa Warembo 15 bora na kunyakua nafasi ya sita kwa vazi bora
Home
Unlabelled
MICHUZI BLOG EXCLUSIVE: SUPA MODO FLAVIANA MATATA AACHANA KABISA NA UPARA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hongera sana
ReplyDeleteLakini basi, ngojea ujionee mwenyewe.