Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ,Askofu wa Jimbo Kuu la Mwanza Yuda Thadei Ruwaichi (kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Evarest Ndikilo wakitazama baadhi ya vitu vilivyohifadhiwa kwenye moja ya mabanda ya kituo cha utamaduni cha wasukuka cha Bujora Juni 2, 2013. Mheshimiwa Pinda alizindua. Sherehe hizo.
Mtoto Gosebert Bwera wa kikundi cha Utamaduni cha Ukerewe akionyesha ufundi wa kupiga ngoma katika uzinduzi wa sherehe za utamaduni wa Wasukuma maarufu kwa jina la Bulabo zilizozinduliwa na Waziri Mkuu , Mizengo Pinda, Bujora Mwanza Juni 2, 2013.
Baadhi ya washiriki washiriki wa uzinduzi wa sherehe za utamadunini wa Wasukuma maarufu kwa jina la Bulabo zilizozinduliwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwenye kituo cha Utamaduni cha Wasukuma cha Bujora mkoani Mwanza Juji 2, 2013 wakila vyakula vya asili vya kabila hilo. (Picha na Ofisi ya Waziri MKuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 03, 2013

    Picha ya chini:

    No artificial flavor, no junk foods,

    100% natural food, truly Tanzanian!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...