Mkurugenzi wa Mashitaka Dkt. Eliezer M. Feleshi akitoa nasaha kwenye mkutano wa haki za watoto. kushoto ni wakili wa serikali Veronica Matikila na kulia ni wakili wa kujitegemea Clarence Kipobota.
Mratibu Mwandamizi wa Polisi kutoka dawati la jinsia na watoto Pili Nyamandito akitoa mada iliyogusa uendeshaji wa upelelezi wa kesi za watoto wanaokinzana na sheria kwenye mkutano wa haki za watoto.
Mkurugenzi wa Mashitaka Dkt. Eliezer M. Feleshi(mwenye suti waliokaa) akiwa kwenye picha ya pamoja na washiriki wa mkutano wa haki za watoto. mkutano umefanyika giraffe hotel, Dar-es-salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...