Warembo 11 kati ya 12 wanaopanda jukwaani leo kuwania Taji lenye Sifa Kuu mbili ya Redd's Miss Sinza 2013, lakini pia linaloshikiliwa na Redd's Miss Tanzania 2012-2013, Brigit Alfred, leo katika Ukumbi wa Meeda Club uliopo Sinza Mori. Katika shindano hilo litakalosindikizwa na burudani kabambe kutoka kwa Bendi mahiri ya African Stars, 'Twanga Pepeta', viingilii vitakuwa ni Sh. 20,000/= kwa VIP na Sh. 10,000/= kwa viti vya kawaida. Shindano hili limedhaminiwa na Redds Original, Mtandao wa Sufianimafoto Blog, Dodoma Wine, Chilly Willy Energy Drink, Fredito Entertainment, CXC Africa, Clouds Media Group na Salut5.com.

Hapa wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mazoezi yao....ya maandalizi.... Picha na www.sufianimafoto.com
Kwanza jinsi walivyokaa hawana adabu. Mtoto wa kike uliyeleleka utakaaje hivyo? Au na kuonyesha sehemu za siri ni aina ya mashindano?
ReplyDeleteWatz tumefika pabaya
Za mtumbani zimekubali!
ReplyDeleteMshindi wa vigogo....... au? Mnapoteza maadili wenyewe,halafu mnahamaki eti utamaduni unapotea:
ReplyDelete