Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 27, 2013

    Ipo kazi!

    1.DECI,
    2.UPATU,
    3.JAKAYA FOUNDATION,
    4.SAVINGS FOUNDATION LOANS,
    5.MFUMAKI.

    Tanzania imekuwa ni shamba la bibi kwa kila kinachojiri kinakuwa ni cha KUWATO DAMU WANANCHI tena wavuja majasho na Makabwela.

    Mara zote wanaonasa wanakuwa ni walala hoi, hivyo kasi ya Umasikini itazidi badala ya kupungua kama tusipo simamia mambo ya Kiholela ktk masuala ya Fedha.

    Hivi kwa nini kusiwekwe Msimao wa masuala ya yote Kifedha nchini yapewe Taasisi za Kifedha zilizo sajiliwa kama MABENKI?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 28, 2013

    WWW = Wajinga Wali Wao.Ni kawaida wanyonge huumia sababu ya unyonge wao, wenye pesa hata haki huweza inunua. Inasikitisha!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 28, 2013

    Wasakeni na muwakomeshe. Kwani walalahoi ni shamba la bibi? Je serikali inashindwa kutulinda sisi raia wake dhidi ya hawa matapeli?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...