Familia ya Bw. na Bi Ramadhan Mambosasa wanasikitika kutangaza kifo cha mtoto wao mpendwa Keiza Mambosasa kilichiotokea tarehe 27 Alhamisi huko Mbezi Beach, Dar es salaam.
Sala ya marehemu itafanyika katika msikiti wa Mzimuni, Kawe, saa saba alasiri, na baada ya hapo mazishi yatafanyika huko Mwanakilenga Bagamoyo.
Sisi tulikupenda lakini Mungu alikupenda zaidi
Mungu akulaze mahali pema peponi…
AMINA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...