Ujumbe wa Tanzania Ports Authority (TPA) ukiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya TPA Prof. Joseph Msambichaka (katikati) unatembelea Mamlaka ya Bandari ya Ghana (GPHA) hapa wakiwa ndani ya chumba cha mawasiliano , wengine katika picha ni Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TPA Ndg. Kiloyavaha wa pili kulia na Mkurugenzi wa ICT waTPA Ndg. Phares Magesa wa pili kuhoto, na wa kwanza kulia ni Mkurugenzi wa ICT wa GPHA na wa kwanza kuhoto ni afisa usalama wa GPHA. TPA hivi karibuni itaanza utekelezaji wa miradi mikubwa ya kuimarisha na kutumia mifumo ya ICT kuongeza ufanisi, kuimarisha ulinzi wa Bandari na kuthibiti usalama wa mizigo ya wateja kuanzia mizigo inapopakiwa kwenye Meli hadi mzigo unapochukuliwa na mteja.
Home
Unlabelled
UJUMBE WA TPA WATEMBELEA MAMLAKA YA BANDARI GHANA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...