Home
Unlabelled
wanatafuta riziki...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Uwe Kijijini, uwepo Mjini popote kula kwa Tindo!
ReplyDeleteMnafikiri mkiwa Vijijini ndio mle kiulaini?
hakika kutafuta riziki ya halali ni ngumu nchini kwetu , na kuna wengi sio hawa tu ambao tunahangaika na maisha ya utafutaji riziki kama kina mama ntilie na wengineo ambao vipato vyao ni vya kumudu mahitaji muhimu ya siku ile , hawana akiba , akiamka mbio zile zile.
ReplyDeleteSerikali yetu haina mpango wowote kuwasaidia watu kama hawa na badala yake hufikiria kuwatoza kodi kama vile wanapata maelfu kwa siku , na kuwaongezea ukali wa maisha. Ukoloni tulikuwa na kodi moja tu ya kichwa mkapiga kelele wakoloni weee wakoloniiii ,,,, lakini leo kuna kodi ya kila kitu mbona hatusemi? Serikali yetu imejaa dhuluma kila sekta.