Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam,Edward Otieno(kulia) akimkabidhi mjasilamali,Pinie Mwasha mashine ya maabara (Outclave sterilizer) wakati wa zoezi la kukabidhi vifaa vya ruzuku kwa wajasiliamali waliofuzu kwenye program ya Safari Lager Wezeshwa kwa kanda ya Pwani iliyofanyika katika Viwanja vya Leaders Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Katikati ni Meneja wa Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam,Edward Otieno(kulia) akimkabidhi mjasilamali,Jamhuri Oiso mashine ya kutengeneza soli za viatu wakati wa zoezi la kukabidhi vifaa vya ruzuku kwa wajasiliamali waliofuzu kwenye program ya Safari Lager Wezeshwa kwa kanda ya Pwani iliyofanyika katika Viwanja vya Leaders Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...