Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania Bw.Matina Nkurlu(kulia)akimwelezea Bi.Tumu Saidi ambae ni mkazi wa Mbagala,Dar es Salaam manufaa na faida za kujiunga na Promosheni ya Cheka Nao inayowawezesha wateja wa kampuni hiyo kupiga simu kwa bei nafuu kwenda mtandao wowote na kujishindia shilingi milioni 2 kwa mwezi,ili kujiunga na kufaidika nayo piga *149*01#,Wanaoshuhudia kushoto ni Meneja wa kanda ya Mbagala Idd Mawe.
Ofisa wa Vodacom Tanzania bi.Rehema William(alieketi)akimwelezea jambo mkazi wa mbagala Dar es Salaam,wakati Promosheni ya Cheka Nao iliyofanyika mbagala hapo jana inayowawezesha wateja wa kampuni hiyo kupiga simu kwa bei nafuu kwa mitandao yote nchini na kujishindia shilingi milioni 2 kwa mwezi,ili kujiunga na kufaidika nayo piga *149*01#.
Ofisa wa Vodacom Tanzania Alfani Mdachi(katikati)akimwandikisha Mustafa Mustafa mkazi wa Mbagala ili kumpatia kadi ya simu tayari kwa matumizi halali zoezi hilo lilifanyika wakati wa kampeni ya Cheka Nao inayowawezesha wateja wa kampuni hiyo kupiga simu kwa bei nafuu kwenda mitandao yote nchini na kujishindia shilingi milioni 2 kwa mwezi,ili kujiunga na kufaidika nayo piga *149*01#.Anaeshuhudia ni Meneja wa kanda ya Mbagala Idd Mawe.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 24, 2013

    mwenzenu yupo kazini nyie mnamtisha (angalizo picha ya kwanza).

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 25, 2013

    Kweli huyu ni meneja

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...