Urban Pulse Creative Media video fupi inayo-onyesha ziara fupi iliyofanywa na Mheshimiwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda soko la mboga na matunda, New Spitalfields, mjini London mwezi Juni 2013.

Habari hizi zinazodhihirisha pia udugu kati ya Kenya na Tanzania zimetayarishwa kwa ushirikiano baina ya Urban Pulse, Freddy Macha na Ubalozi wa Tanzania, Uingereza.

Habari zimetayarishwa kwa ushirikiano baina ya Urban Pulse, Freddy Macha na Ubalozi Wa Tanzania Uingereza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 24, 2013

    Biashara za UK zinafanywa na "Corporates" sio wamachinga. Hilo soko ni soko la watu wa kima cha chini na wageni. Wenyewe wananunua vyakula kutoka "Supermarket" ambavyo vimekuwa "packed" kwa viwango.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 24, 2013

    I love it na naanza kutake initiave. naomba tujulushe information za kina tunaweza kuzipata wapi.

    ReplyDelete
  3. Mi npo tanzania ... Ni graduate Wa chuo kikuu hapa tanzania naitaji kufanya kilimo biashara .... Nitapata wapi maelekezo zaidi ya maswali yangu kabla sijaanza kulima .... 0712419015

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...